Lyrics

Lyrics | Harmonize ~ Wamelowa (The Yanga Version)

Read Wamelowa Lyrics By Harmonize (The Yanga Version)
Read Wamelowa Lyrics By Harmonize (The Yanga Version)
Avatar of Swahili Vibe
Written by Swahili Vibe

Kwenye msimamo kumi bora ndo wengine wamo

Tanga shikamoo hawatuwezi hawa watoto wa Mooo

La kuvunda halinaga ubani hawawezi lutufikia

Na mpira kwetu burudani hatuchoki kushangalia

RELATED: Harmonize ~ Wamelowa (The Yanga Version)

Wanajiuliza kwanini tunawakimbiza hawachezi boli wanaingiza

Yanga tunatamba kuwaumiza

Tumeshinda kilage mukama tunakomoa

Kwa uwekezaji wa GSM hawawezi kutoboa

Tunawakumbatia mkono wa kushoto kwenye gear

Na zikitupanda hisia Yanga tunachuchumia

Maji yanatoka wamelowa wamelowa

Wamelowa na mvua

Makolo wamelowa wamelowa

Wamenyeshewa na mvua

Wamelowa wamelowa

Wamelowa na mvua

Makolo wamelowa wamelowa

Wamenyeshwwa na mvua

Si ndo Yanga, Yanga Afrika

Engineer

Si ndo Yanga Yanga Afrika

Uuuh aaah kila wakikurupuka tunawapiga kamba

Hatuna papara pupa tunalicheza samba

Jeupega mwanao wenye kwilejakuloa jejikukila mwanau

Liduvalipapa ukakaukyilamba, liduvalipamba ukakaukakyilamba

Tumeshinda kilage mukama tunakomoa

Kwa uwekezaji wa GSM hawawezi kutoboa

Tunawakumbatia mkono wa kushoto kwenye gear

Na zikitupanda hisia Yanga tunachuchumia

Maji yanatoka wamelowa wamelowa

Wamelowa na mvua

Makolo wamelowa wamelowa

Wamenyeshewa na mvua

Wamelowa wamelowa

Wamelowa na mvua

Makolo wamelowa wamelowa

Wamenyeshwwa na mvua

Si ndo Yanga, Yanga Afrika

Engineer

Si ndo Yanga Yanga Afrika

Tunawakumbatia mkono wa kushoto kwenye gear

Na zikitupanda hisia Yanga tunachuchumia

Maji yanatoka wamelowa wamelowa

About the author

Avatar of Swahili Vibe

Swahili Vibe

Swahili Vibes is an Online Music Platform based on Publishing both Audio and Video Contents. this site started in 2022. the aim of this website is to inform, educate and entertain users. All content is created, designed and published with that aim only.

Leave a Comment