Lyrics

LYRICS | Alikiba – Mahaba

mahaba lyrics by Alikiba
mahaba lyrics by Alikiba
Avatar of Swahili Vibe
Written by Swahili Vibe

Mahaba Lyrics

Siku hizi hakuna mahaba
Yeah mahaba
Mapenzi ya mkataba
Mpaka kufa, kwisha

Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha, yanavuja raha
Nafsi yangu inasema
Bora nimpende tu alionizaa

RELATED: Mahaba – Alikiba MP3 DOWNLOAD

Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinitosha, no

Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinitosha, no

Mwenzako mi nilikufa, nikaziwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka yeah
Mi nilikufa, nikaziwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka yeah

Skiza kwanza we dada, we dada
Mi sio mgeni alishanikaba
Mapenzi yalinikausha
Natamani kuwa single
Ila na- unakaba koo
Mabinti wenye vifundo
Hao ndio mi wananitoa roho

Na siri juu ya jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha ooh

Na siri yake juu ya jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha ooh

Mwenzako mi nilikufa, nikaziwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka yeah
Mi nilikufa, nikaziwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka yeah

About the author

Avatar of Swahili Vibe

Swahili Vibe

Swahili Vibes is an Online Music Platform based on Publishing both Audio and Video Contents. this site started in 2022. the aim of this website is to inform, educate and entertain users. All content is created, designed and published with that aim only.

Leave a Comment